Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 14

Mithali 14:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Yeye aendaye kwa uaminifu humcha Yehova, bali mkaidi humdharau katika njia zake.
3Katika kinywa cha mpumbavu hutoka chipukizi la kiburi chake, bali midomo ya wenye busara itawalinda.
4Pale pasipo na mifugo hori la kulishia ni safi, bali mazao mengi huweza kupatikana kwa nguvu za maksai.
5Shahidi mwaminifu hasemi uongo, bali shahidi wa uongo hupumua uongo.

Read Mithali 14Mithali 14
Compare Mithali 14:2-5Mithali 14:2-5