Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 14

Mithali 14:19-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Hao ambao ni waovu watainama mbele yao walio wema na wale wenye uovu watasujudu kwenye malango ya wenye haki.
20Mtu masikini huchukiwa hata na marafiki zake, bali watu matajiri wanamarafiki wengi.
21Yeye ambaye huonyesha dharau kwa jirani yake anafanya dhambi, bali yule ambaye huonyesha fadhila kwa masikini anafuraha.
22Je wale wanaofanya njama mbaya hawapotei? Bali wale wenye mpango wa kutenda mema watapokea agano la uaminifu na udhamini

Read Mithali 14Mithali 14
Compare Mithali 14:19-22Mithali 14:19-22