Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 14

Mithali 14:19-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Hao ambao ni waovu watainama mbele yao walio wema na wale wenye uovu watasujudu kwenye malango ya wenye haki.
20Mtu masikini huchukiwa hata na marafiki zake, bali watu matajiri wanamarafiki wengi.

Read Mithali 14Mithali 14
Compare Mithali 14:19-20Mithali 14:19-20