Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 14

Mithali 14:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Moyo unayajua machungu yake mwenyewe na hakuna mgeni anayeshiriki furaha yake.
11Nyumba ya waovu itaangamizwa, bali hema ya watu waaminifu itasitawi.
12Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho wake huelekea mauti tu.

Read Mithali 14Mithali 14
Compare Mithali 14:10-12Mithali 14:10-12