Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 13

Mithali 13:6-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Wenye haki huwalinda wale ambao ni wakamilifu katika mapito yao, bali uovu huwaangusha wale watendao dhambi.
7Kuna mtu ambaye hujitajirisha mwenyewe, lakini hana chochote na kuna mtu ambaye hutoa kila kitu, bado ni tajiri kweli.
8Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.

Read Mithali 13Mithali 13
Compare Mithali 13:6-11Mithali 13:6-11