Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 11

Mithali 11:6-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mwenendo mwema wa wale wampendezao Mungu utawalinda salama, bali wadanganyifu hunaswa katika shauku zao.
7Mtu mwovu anapokufa, tumaini lake hupotea na tumaini lililokuwa katika nguvu zake linakuwa si kitu.
8Yule atendaye haki hulindwa katika taabu na badala yake taabu humjia mwovu.

Read Mithali 11Mithali 11
Compare Mithali 11:6-8Mithali 11:6-8