Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 11

Mithali 11:24-27

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Kuna yule ambaye hupanda mbegu- atakusanya zaidi; mwingine hapandi- huyo anakuwa masikini.
25Mtu mkarimu atafanikiwa na yule awapaye maji wengine atapata maji yake mwenyewe.
26Watu wanamlaani mtu ambaye hukataa kuuza nafaka, bali zawadi njema hufunika kichwa chake ambaye huuza nafaka.
27Yule ambaye hutafuta mema kwa bidii pia anatafuta kibali, bali yule atafutaye ubaya atapata ubaya.

Read Mithali 11Mithali 11
Compare Mithali 11:24-27Mithali 11:24-27