Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:7-9Mithali 10:7-9