Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:3-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Yehova hawaachi wale watendao haki wapate njaa, bali hamu ya waovu huizuia.
4Mkono mlegevu humfanya mtu awe masikini, bali mkono wa mtu mwenye bidii hupata utajiri.
5Mwana mwenye busara hukusanya mazao wakati wa kiangazi, bali ni aibu kwake alalaye wakati wa mavuno.
6Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
7Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.
8Wale wenye akili hukubali maagiza, bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataangamia.
9Yeye anayetembea katika uadilifu hutembea katika usalama, bali yule anayepotosha njia zake, ataonekana.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:3-9Mithali 10:3-9