Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:24-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
25Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.
26Kama siki kwenye meno na moshi kwenye macho, ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.
27Hofu ya Yehova huongeza maisha, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
28Matumaini ya wale watendao haki ndiyo furaha yao, bali miaka ya waovu itakuwa mifupi.
29Njia ya Yehova huwalinda wale wenye uadilifu, bali kwa waovu ni uhalibifu.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:24-29Mithali 10:24-29