Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:11-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Kinywa cha mwenye kutenda haki ni kama chemchemi ya maji ya uzima, bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri.
12Chuki huchochea mafarakano, bali upendo hufunika juu ya makwazo yote.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:11-12Mithali 10:11-12