22Watu wakapiga kelele, “Hii ni sauti ya mungu wala si sauti ya mwanadamu!”
23Mara ghafla malaika akampiga, kwa sababu alikuwa hakumpa Mungu utukufu; akaliwa na chango na akafa
24Lakini neno la Mungu likakua na kusambaa.
25Baada ya Barnaba na Sauli kukamilisha huduma yao wakatoka pale wakarejea Yerusalemu, wakamchukua na Yohana ambaye jina la kuzaliwa ni Marko.