Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 10

Hesabu 10:24-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Abidani mwana wa Gidioni aliongoza jeshi la uzao wa kabila la Benjamini.
25Lile jeshi lililoweka kambi mahali pa bango la uzao wa Dani lilikuwa la mwisho kuondoka. Ahizeri mwana wa Amishadai ndiye aliyeongoza jeshi la Dani.
26Pagieli mwana wa Okirani aliongoza jeshi la wana wa uzao wa Asheri.
27Ahira mwana wa Enani aliongoza jeshi la uzao wa kabila ya Naftali.
28Hivi ndivyo majeshi ya wana wa Israeli yalivyosafiri.

Read Hesabu 10Hesabu 10
Compare Hesabu 10:24-28Hesabu 10:24-28