Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 24

Luka 24:41-46

Help us?
Click on verse(s) to share them!
41Wakiwa bado katika hali ya kutosadiki kwa sababu ya furaha yao, na wakiwa wanastaajabu, akawauliza, “Mnacho chakula chochote hapa?”
42Wakampa kipande cha samaki wa kuokwa.
43Akakichukua, akala, wote wakimwona.
44Halafu akawaambia, “Hii ndiyo maana ya maneno niliyowaambia nilipokuwa pamoja nanyi: kwamba ilikuwa lazima kukamilisha yote yaliyoandikwa juu yangu katika Sheria ya Mose na katika vitabu vya manabii na katika kitabu cha Zaburi.”
45Kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa Maandiko Matakatifu.
46Akawaambia, “Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na siku ya tatu atafufuka kutoka wafu,

Read Luka 24Luka 24
Compare Luka 24:41-46Luka 24:41-46