Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 24

Hesabu 24:15-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Balaamu alianza unabii huu. Akisema, “Balaamu mwana wa Beori anasema, Mtu yule aliyefumbuliwa macho yake.
16Huu ni unabii wa mtu alisikiaye neno la Mungu, aliye na maarifa toka kwake Yeye aliye juu, aliye na maono kutoka kwa Mwenyezi, Yeye ambaye humpigia magoti macho yakiwa yamefumbuliwa.

Read Hesabu 24Hesabu 24
Compare Hesabu 24:15-16Hesabu 24:15-16