7Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;