7 Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;