4Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.