11kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.