Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 1

Hesabu 1:11-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.

Read Hesabu 1Hesabu 1
Compare Hesabu 1:11-16Hesabu 1:11-16