11 kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.