Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 15

Yoshua 15:48-61

Help us?
Click on verse(s) to share them!
48Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50Anabu, Eshitemo, Animu,
51Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52Arabu, Duma, Ehani,
53Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,

Read Yoshua 15Yoshua 15
Compare Yoshua 15:48-61Yoshua 15:48-61