Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Yoshua 15:48-61 in Swahili (individual language)

Help us?

Yoshua 15:48-61 in Biblia ya Kiswahili

48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52 Arabu, Duma, Ehani,
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
Yoshua 15 in Biblia ya Kiswahili