22Hata sasa, najua ya kuwa lolote utakaloomba kutoka kwa Mungu, atakupatia.”
23Yesu akamwambia, kaka yako atafufuka tena.”
24Martha akamwambia, najua kwamba atafufuka katika ufufuo siku ya mwisho.”
25Yesu akamwambia, “Mimi ni ufufuo na uzima; yeye aniaminiye, ingawa atakufa, hata hivyo atakuwa anaishi;