Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Yohana - Yohana 11

Yohana 11:22-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
23Yesu akamwambia, “Kaka yako atafufuka.”
24Martha akamjibu, “Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.”
25Yesu akamwambia, “Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi:

Read Yohana 11Yohana 11
Compare Yohana 11:22-25Yohana 11:22-25