22Lakini najua kwamba hata sasa chochote utakachomwomba Mungu, atakupa.”
23Yesu akamwambia, “Kaka yako atafufuka.”
24Martha akamjibu, “Najua kwamba atafufuka wakati wa ufufuo, siku ya mwisho.”
25Yesu akamwambia, “Mimi ndimi ufufuo na uzima. Anayeniamini mimi hata kama anakufa, ataishi: