Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 24

Hesabu 24:20-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Kisha Balaamu akamtazama Amaleki na akaanza kutoa unabii wake. Alisema, “Amaleki alikuwa mkuu katika mataifa, lakini mwisho wake utakuwa uharibifu.”
21Kisha Balaamu akawatazama Wakeni na akaanza kutoa unabii wake. Akasema, “Mahali unapoishi pana usalama, na viiota vyake viko kwenye miamba.

Read Hesabu 24Hesabu 24
Compare Hesabu 24:20-21Hesabu 24:20-21