Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Hesabu 24:20-21 in Swahili (individual language)

Help us?

Hesabu 24:20-21 in Biblia ya Kiswahili

20 Kisha Balaamu akamtazama Amaleki na akaanza kutoa unabii wake. Alisema, “Amaleki alikuwa mkuu katika mataifa, lakini mwisho wake utakuwa uharibifu.”
21 Kisha Balaamu akawatazama Wakeni na akaanza kutoa unabii wake. Akasema, “Mahali unapoishi pana usalama, na viiota vyake viko kwenye miamba.
Hesabu 24 in Biblia ya Kiswahili