2Tuma mwanamume mmoja kutoka kila jamaa ya kabila. Kila mwanamume awe kiongozi katika kabila lake.”
3Musa akawatuma kutoka jangwa la Parani, ili watii amri ya BWANA. Watu wote hao walikuwa viongozi wa watu wa Israeli.
4Majina yao yalikuwa haya yafuatayo: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;
5Kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
7Kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yusufu,
8Kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;
9Kutoka kabila la Benjamini, Paliti mwana wa Rafu;
10kutoka kabila ya Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi;
11kutoka kabila la Yusufu (hiyo inamaanisha kutoka kabila la Manase), Gadi mwana wa Susi;
12kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemalili;
13kutoka kabila Asheri, Setu mwana wa Mikaili;