Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 12

Hesabu 12:14-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14BWANA akamwambia Musa, “kama baba yake angemtemea usoni angepata aibu kwa muda wa siku saba. Umfungie nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Kisha umrejeshe ndani tena.”
15Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya kambi kwa siku saba. Watu hawakusafiri mpaka aliporudi kambini.

Read Hesabu 12Hesabu 12
Compare Hesabu 12:14-15Hesabu 12:14-15