Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 20

Luka 20:19-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Walimu wa Sheria na makuhani wakuu walifahamu kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu, na hivyo walitaka kumkamata palepale, ila tu waliogopa watu.
20Basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. Wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase Yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
21Hao wapelelezi wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli; tunajua kwamba wewe huna ubaguzi; wewe wafundisha ukweli juu ya njia ya Mungu.
22Basi, twambie kama ni halali, au la, kulipa kodi kwa Kaisari!”
23Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24“Nionyesheni sarafu. Je, sura na chapa ni vya nani?”

Read Luka 20Luka 20
Compare Luka 20:19-24Luka 20:19-24