Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 20

Luka 20:19-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Hivyo waandishi na wakuu wa makuhani walitafuta njia ya kumkamata wakati huohuo, walijua kwamba alikuwa amesema mfano huu dhidi yao. Lakini waliwaogopa watu.
20Walimuangalia kwa makini, wakatuma wapelelezi waliojifanya kuwa watu wa haki, ili wapate kupata kosa kwa hotuba yake, ili kumpelekakwa watawala na wenye mamlaka.
21Nao wakamwuliza, wakisema, “Mwalimu, tunajua kwamba unasema na kufundisha mambo ya kweli na si kushawishiwa na mtu yeyote, lakini wewe hufundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu.
22Je, ni halali kwetu kulipa kodi kwa Kaisari, au la?”
23Lakini Yesu alitambua mtego wao, akawaambia,
24“Nionyesheni dinari. Sura na chapa ya nani ipo juu yake?” Walisema, '“Ya Kaisari.”

Read Luka 20Luka 20
Compare Luka 20:19-24Luka 20:19-24