Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 24

Hesabu 24:3-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Akapokea huu unabii na kusema, “Balaamu mwana wa Beori anataka kusema, yeye ambaye macho yake yemefunuliwa sana.
4Huongea na kusikia maneno ya Mungu. Huona maono toka kwa Mwenyezi, ambaye mbele zake humwinamia na macho yake yakiwa yamefumbuliwa.

Read Hesabu 24Hesabu 24
Compare Hesabu 24:3-4Hesabu 24:3-4