Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 21

Hesabu 21:10-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Kisha watu wa Israeli wakasafiri na kisha kuweka kambi Obothi.
11Kisha wakasafiri kutoka pale na kuweka kambi Iye Abarimu katika jangwa linalokabili Moabu kuelekea upande wa mashariki.
12Kutoka pale wakasafiri na kuweka kambi katika bonde la Zeredi.
13Kutoka pale walisafiri na kuweka kambi kwenye upande mwingine wa mto Amoni, ambao ukubwa wake unaanzia kwenye mpaka wa Waamori. Mto wa Amoni ndio unaootengeneza mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.
14Ndiyo maana imeandikwa katika gombo la Kitabu cha BWANA, “Wahebu katika Sufa, na bonde la Amoni,

Read Hesabu 21Hesabu 21
Compare Hesabu 21:10-14Hesabu 21:10-14