Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Hesabu - Hesabu 13

Hesabu 13:25-26

Help us?
Click on verse(s) to share them!
25Baada ya siku arobaini, wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.
26Wakaja kwa Musa, Haruni na kwa watu wote wa Israeli katka jangwa la Parani, kule Kadeshi. Wakaleta taarifa kwao na kwa Waisraeli wote, na kuwaonyesha matunda ya nchi ile.

Read Hesabu 13Hesabu 13
Compare Hesabu 13:25-26Hesabu 13:25-26