Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 15

Yoshua 15:22-63

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Kina, Dimona, Adada,
23Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24Zifu, Telemu, Bealothi.
25Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26Amamu, shema, Molada,
27Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29Baala, Limu, Ezemu,
30Eltoladi, Kesili, Horma,
31Ziklagi, Madimana, Sansana,
32Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
33Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
34Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
35Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera (ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
37Zena, Hadasha, Migidagadi,
38Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
39Lakishi, Bozikathi, Egloni.
40Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
41Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
42Libna, Etheri, Ashani,
43Ifuta, Ashina, Nezibu,
44Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
45Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
46kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
47Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
48Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
49Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
50Anabu, Eshitemo, Animu,
51Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
52Arabu, Duma, Ehani,
53Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
54Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
55Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
56Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
57Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
58Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
59Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
60Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
61Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
62Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
63Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.

Read Yoshua 15Yoshua 15
Compare Yoshua 15:22-63Yoshua 15:22-63