Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 14

Yoshua 14:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao katika nchi ya Kanaani. Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli.
2Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura kwa makabila tisa na nusu, kama vile Yahweh alivyoagiza kwa mkono wa Musa.

Read Yoshua 14Yoshua 14
Compare Yoshua 14:1-2Yoshua 14:1-2