Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yohana - Yohana 4

Yohana 4:30-37

Help us?
Click on verse(s) to share them!
30Wakatoka mjini wakaja kwake.
31Wakati wa mchana wanafunzi wake walimsihi wakisema, “Rabi kula chakula.”
32lakini yeye aliwambia, “Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi.”
33Wanafunzi wakaambizana, hakuna aliyemletea kitu chochotekula, “Je walileta?”
34Yesu akawambia, “Chakula changu ni kufanya mapenzi yake yeye aliyenituma na kutimiza kazi yake.
35Je, hamsemi, 'Bado miezi mitano na mavuno yatakuwa tayari?' Ninawambieni tazameni mashamba yalivyo tayari kwa mavuno!
36Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja.
37Kwa kuwa msemo huu ni wa kweli, 'Mmoja apanda na mwingine avuna.'

Read Yohana 4Yohana 4
Compare Yohana 4:30-37Yohana 4:30-37