4waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
5Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
6Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.
7Kutoka hapo watu wengi waliosikia, pepo wachafu waliwatoka watu huku wakilia kwa sauti kubwa, na wengi waliopooza na viwete waliponywa.
8Na kulikuwa na furaha kubwa katika mji.