Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Isaya - Isaya 11

Isaya 11:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Siku hiyo mzizi wa Yese utasimama kama bendera ya watu. Taifa litamtafuta yeye nje, na mahali pake pakupumzikia patatukuka.
11Siku hiyo, Bwana ataunyoosha mkono wake tena kuokoa mabaki ya watu wake yaliyosalia huko Asiria, Misri, Pathrosi, Kushi, Shinari, Hamathi, na kisiwa cha bahari.

Read Isaya 11Isaya 11
Compare Isaya 11:10-11Isaya 11:10-11