Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Isaya - Isaya 10

Isaya 10:5-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ole kwa watu wa Asiria klabu ya asira yangu, fimbo ya asira yangu!
6Nimemtuma juu ya taifa lenye kiburi na juu ya watu waliobeba uwingi wa hasira. Ninaamuru chukua nyara, chukua mawindo, na kuwakanyaga wao kama matope mitaani.
7Lakini hichi sicho alichomaanisha, wala sivyo afikiriavyo. Maana katika moyo wake ni kuharibu na kuondoa mataifa.

Read Isaya 10Isaya 10
Compare Isaya 10:5-7Isaya 10:5-7