Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 19

Yoshua 19:15-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
16Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
17Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
18Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
19Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
20Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
21Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
22Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.

Read Yoshua 19Yoshua 19
Compare Yoshua 19:15-22Yoshua 19:15-22