Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 15

Yoshua 15:20-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
21Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
22Kina, Dimona, Adada,
23Kadeshi, Hazor, Ithinani,
24Zifu, Telemu, Bealothi.
25Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
26Amamu, shema, Molada,
27Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
28Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
29Baala, Limu, Ezemu,
30Eltoladi, Kesili, Horma,
31Ziklagi, Madimana, Sansana,
32Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.

Read Yoshua 15Yoshua 15
Compare Yoshua 15:20-32Yoshua 15:20-32