Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 14

Yoshua 14:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Tazama! sasa, Yahweh amenihifadhi hai kwa miaka hii arobaini na tano, kama alivyosema - tangu kipindi kile Yahweh alivyomwambia Musa neno hili, wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani. Tazama! sasa katika siku hii ya leo nina miaka themanini na mitano.
11Bado hata siku hii ya leo nina nguvu kama nilivyokuwa katika siku ile ambayo Musa alinituma. Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile, kwa ajili ya vita na kwa kwenda na kwa kuja.

Read Yoshua 14Yoshua 14
Compare Yoshua 14:10-11Yoshua 14:10-11