Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Yoshua - Yoshua 10

Yoshua 10:7-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7“Yoshua alipanda kutoka Giligali, yeye na watu wote wa vita pamoja naye, na watu wote wapiganaji.
8Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiwaogope. Nimewatiwa wote katika mkono wako. Hakuna hata mmoja wao atakayeweza kuzuia mashambulizi yako.”
9Baada ya kutembea usiku kucha kutoka Giligali, ghafla Yoshua aliwafikilia.
10Na Yahweh alichanganya maadui mbele za Israeli - ambao waliwaua mauaji makubwa mno huko Gibeoni, na wale waliowafuata njiani iendayo Bethi Horoni, nao waliuwaua katika njia iendayo Azeka na Makeda.

Read Yoshua 10Yoshua 10
Compare Yoshua 10:7-10Yoshua 10:7-10