Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 20

Matendo ya Mitume 20:26-29

Help us?
Click on verse(s) to share them!
26Kwa hiyo nawashuhudia leo hii, kwamba sina hatia kwa damu ya mtu yeyote.
27Kwa maana sikujizuia kuwatangazia mapenzi yote ya Mungu.
28Kwa hiyo iweni waangalifu juu yenu ninyi wenyewe, na juu ya kundi lolote ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi. Iweni waangalifu kulichunga kusanyiko la Bwana, ambalo alilinunua kwa damu yake mwenyewe.
29Najua kwamba baada ya kuondoka kwangu, mbwa mwitu wakali wataingia kwenu, na wasilihurumie kundi.

Read Matendo ya Mitume 20Matendo ya Mitume 20
Compare Matendo ya Mitume 20:26-29Matendo ya Mitume 20:26-29