Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 15

Matendo ya Mitume 15:11-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
11Lakini twaamini kwamba tutaokolewa kwa neema ya Bwana Yesu, kama walivyokuwa.”
12Kusanyiko lote lilinyamaza walipokua wakimsikiliza Barnaba na Paulo walipokuwa wakitoa taarifa ya ishara na maajabu ambayo Mungu alifanya pamoja nao kati ya watu wa mataifa.
13Walipoacha kuongea, Yakobo alijibu akisema, “Ndugu nisikilizeni.
14Simoni ameelezea jinsi kwanza Mungu kwa neema aliwasaidia Mataifa ili kwamba ajipatie kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.
15Maneno ya manabii yanakubaliana na hili kama lilivyoandikwa.
16'Baada ya mambo haya nitarudi na kuijenga tena hema ya Daudi, iliyoanguka chini; nitainua na kuhuisha uhararibifu wake,

Read Matendo ya Mitume 15Matendo ya Mitume 15
Compare Matendo ya Mitume 15:11-16Matendo ya Mitume 15:11-16