Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 9

Luka 9:20-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Akawambia, “Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?” Akijibu Petro akasema, “Kristo kutoka kwa Mungu.”
21Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza kutomwambia yeyote juu ya hili,
22akasema kwamba mwana wa Adamu lazma ateseke kwa mambo mengi na kukataliwa na wazee na Makuhani wakuu na waandishi, na atauawa, na siku ya tatu atafufuka.
23Akawambia wote, “kama mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku, na anifuate.
24Yeyote ajaribuye kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote apotezae maisha yake kwa faida yangu, atayaokoa.

Read Luka 9Luka 9
Compare Luka 9:20-24Luka 9:20-24