Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 13

Luka 13:8-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
9Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate.!”'
10Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
11Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
12Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”

Read Luka 13Luka 13
Compare Luka 13:8-12Luka 13:8-12