Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Luka - Luka 13

Luka 13:31-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.”
32Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie huyo mbweha hivi: Leo na kesho ninafukuza pepo na kuponya wagonjwa, na siku ya tatu nitakamilisha kazi yangu.

Read Luka 13Luka 13
Compare Luka 13:31-32Luka 13:31-32