Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Luka - Luka 13

Luka 13:31-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
31Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
32Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.

Read Luka 13Luka 13
Compare Luka 13:31-32Luka 13:31-32