Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - 1Wafalme - 1Wafalme 7

1Wafalme 7:41-44

Help us?
Click on verse(s) to share them!
41Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
42Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
43yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
44Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;

Read 1Wafalme 71Wafalme 7
Compare 1Wafalme 7:41-441Wafalme 7:41-44